Page 26 - Pricelist-2020
P. 26

EAEP 2020 CATALOGUE



          wAANDISHI wA KIAFRIKA

          Waandishi wa Kiafrika ni mkusanyiko wa hadithi zinazoshughulikia maswala mbalimbali yanayoziathiri jamii zetu, hususan maswala-ibuka
          kama vile ufisadi, UKIMWI, uhifadhi wa mazingira, unyumba na kadhalika. Hadithi hizi zimeandikwa na waandishi wenye tajriba tofauti za
          kimaisha. Kuna wale ambao wana tajriba kubwa kiumri na kiuandishi, na pia kuna vijana ambao wanaandika kwa mara yao ya kwanza. Ni
          hadithi ambazo zitasisimua na kuchochea hisia za masikitiko, zitasuta udhaifu wa kibinadamu na pia kutoa mwelekeo ufaao.
           ISBN      TITLE                                   AUTHOR                   PRICE
          25-522-2   Alidhani Kapata na Hadithi Nyingine     P. I. Iribemwangi (Mhr.)  500.00
          46-203-1   Anasa                                   Yusuf King’ala           375.00
          46-901-x   Asali Chungu                            Said A. Mohamed          450.00
          46-366-6   Chembe cha Moyo                         Alamin Mazrui            290.00
          46-070-5   Doa la Mauti                            Muwanga & Geranija       290.00
          46-856-0   Duniani Kuna Watu                       Mohamed S. Abdulla       350.00
          46-051-9   Kusanyiko la Mashairi: Anthology of Swahili poetry  Ali Ahmed Jahadhmy  290.00
          46-213-9   Mafuta                                  Katama Mkangi            320.00
          46-122-1   Mchimba Madini                          Peter Abrahams           310.00
          46-104-3   Mshale wa Mungu                         Chinua Achebe            415.00
          25-591-4   Msururu wa Usaliti                      Mwenda Mbatiah           470.00
          46-039-x   Mwindaji Hodari                         Caleb Ogejo              300.00
          46-085-3   Mwakilishi wa Watu                      Chinua Achebe            480.00
          46-868-4   Mwana wa Yungi Hulewa                   Mohamed S. Abdulla       480.00
          46-167-1   Shetani Msalabani                       Ngugi wa Thiong’o        530.00
          46-016-0   Usilie Mpenzi Wangu                     Ngugi wa Thiong’o        400.00
          46-813-7   Vipuli vya Figo                         Emmanuel Mbogo           550.00
          46-716-5   Walenisi                                Katama Mkangi            460.00
          46-072-1   Wema Hawajazaliwa                       Ayi Kwei Armah           560.00
          46-369-0   Malenga wa Ziwa Kuu: Maswali na Istilahi za Kifasihi  Wallah bin Wallah   515.00
          46-243-3   Sanaa ya Umalenga                       S. Karama                340.00
          25-777-2   Kopo la Mwisho na Hadithi Nyingine      Abu Marjan               420.00
          25-776-5   Sauti ya Umma                           Okoiti Omtatah           350.00
          25-631-7   Tamaa ya Pendo                          P.M Geranija             480.00
          25-660-7   Dunia Tambara Bovu                      Shisia Wasilwa           340.00
          25-872-4   Mwele Bin Taaban (New)                  Mudhihir Mudhihir        350.00
          25-968-6   Mwanasiasa                              Swaleh Mdoe              450.00
          25 971 4   Mahari na Mali                          Emmanuel Kariuki         530.00
          25-631-7   Maji Shingoni                           P.N Geranija             420.00

          uSHAIRI

                                                                                   Tutarudi MNA ROHO ZETU cover.pdf   1   22/11/2019   7:39 PM
           ISBN       TITLE                     AUTHOR                          PRICE              Ben R. Mtobwa  SIMULIZI SISIMKA
                                                                                   TUTARUDI NA Roho zetu?
          25-799-4    Miali ya Ushairi          PI Iribemwangi na K Wamalwa     420.00            TUTARUDI NA
                                                                                   Simulizi Sisimka ni vitabu vya kubuni ambavyo vinakusudiwa kusomwa ili
                                                                                   kujiburudisha. Vitushi katika hadithi hizi vinawanda katika maudhui ya
                                                                                   mahaba au mapenzi, uhalifu, mikikimikiki ya mjini, na maswala mengine
                                                                                   ya kumsisimua msomaji. Ploti ya vitabu hivi imesukwa kiasi cha kumfanya
                                                                                   msomaji kuganda palepale akifungua ukurasa mmoja baada ya mwingine
                                                                                   kutokana na ilhamu ya kutaka kujua kitakachofuata. Kwa yakini, vitabu
                                                                                   hivi ni burudani babu kubwa!  Ben R. Mtobwa  Roho zetu?
                                                                                   Nchi za mstari wa mbele katika ukombozi kusini mwa Afrika zimetendewa
                                                                                   mengi maovu na utawala huu dhalimu... Hata hivyo haikupatikana
                                                                                   kutokea tishio zito la kutisha kama hili, ambalo linakaribia kutokea. Tukio
                                                                                   la kutatanisha ambalo linawatoa machozi wananchi wa nchi mbalimbali.
          SIMuLIZI SISIMKA                                                      M Y CM  Wanajitokeza mashujaa kwenda Afrika Kusini, lakini kila aendaye huko
                                                                                C
                                                                                   hurudi na roho yake.
                                                                                   Inspekta Kombora nchini Tanzania jasho linamtoka. Anawathamini
                                                                                   mashujaa wengi lakini anamtambua shujaa mmoja; Joram Kiango. Jambo
                                                                                MY CY CMY K  la kusikitisha ni kwamba sasa hivi, Joram ni mtumiaji mzuri ambaye   TUTARUDI NA Roho zetu?
                                                                                   anatembea kutoka jiji hadi jiji akiwa na yule msichana mzuri Nuru. Juhudi
                                                                                   za Kombora kumsihi hazifui dafu. Badala yake Joram anafanya maajabu
                                                                                   mengine ambayo yanalichafua jina lake hapa nchini na kote duniani.
                                                                                   Wakati  huo siku  ambayo utawala  huo  umeweka  ili  kuachia  pigo  lao  la
                                                                                   mwisho inazidi kukaribia. Sasa yamesalia masaa...
                                                                                   BEN R. MTOBWA, kama ilivyo kawaida yake, anailenga hadithi hii kwa
           ISBN     TITLE                                       AUTHOR            PRICE
                                                                                   zana mbalimbali zilizo pamoja na watu wenye bahati na wenye mikosi,
                                                                                   wasichana wenye sura nzuri na wale wenye sura mbaya. Ni hadithi kuhusu
                                                                                   mapenzi na chuki, uhai na kifo.
          46-958-3  Dar es Salaam Usiku                         Ben R. Mtobwa    340.00   www.eastafricanpublishers.com  SIMULIZI SISIMKA
                                                                                     SIMULIZI SISIMKA
          46-939-7  Pesa Zako Zinanuka                          Ben R. Mtobwa    340.00
                                                                                   Nairobi • Kampala • Dar es Salaam • Kigali • Lusaka • Lilongwe
          46-953-2  Najisikia Kuua Tena                         Ben R. Mtobwa    340.00
          46-929-x  Salamu Kutoka Kuzimu                        Ben R. Mtobwa    340.00
          46-941-9  Tutarudi na Roho Zetu                       Ben R. Mtobwa    340.00
          25-629-4  Mikononi mwa Nunda                          Ben R, Mtobwa    340.00
          25-998-1  Harakati za Joram Kiango – Nyuma ya Mapazia   Ben R, Mtobwa  340.00
          25-997-4  Harakati za Joram Kiango – Mtambo wa Mauti   Ben R, Mtobwa   340.00
          25-996-7  Harakati za Joram Kiango – Dimbwi la Damu   Ben R, Mtobwa    340.00
          25-999-8  Zawadi ya Ushindi                           Ben R, Mtobwa    340.00
                                                                      The Peak in Publishing               27
   21   22   23   24   25   26   27   28   29   30   31