Page 17 - SWAHILI_SB01Creation
P. 17

Katikati ya bustani kulikuwepo na miti miwili. Mti
 wa mmoja  ni  wa uzima, uzima wa  milele.  Mti
 mwingine wa maarifa ya kujua mema na mabaya.

 Bwana akamwambia mtu ya kuwa aliruhusi-
 wa Kula tunda lolote Kwa mti wowote katika
 bustani, ila alimpa onyo Kali...


































































                                                                 Usidhubutu kulila tunda
                                                                la mti wa maarifa ya kujua
                                                               mema na mabaya, Kwa maana
                                                                utakavyofanya hivyo hakika
                                                                     utakufa.




                                                                               Mwanzo 2:9, IS-17
   12   13   14   15   16   17   18   19   20   21   22