Page 15 - SWAHILI_SB01Creation
P. 15

Sasa, Bwana Mungu alikuwa
           ameipanda bustani upande wa
           mashariki katika Edeni.
                 Hapo bustanini akamweka ndani
                 yake huyo mtu aliyemfanya.



























































                                                                Miti ya Ile bustani ilikuwa ya kutamanika
                                                                kwa macho na bora kwa chakula.


                                                                        Ukungu ukapanda kutoka
                                                                        ardhini, ukatanda na kuyatia
                                                                        maji juu ya uso wote wa nchi.

                                                                Hata ingawa Mungu ndiye aliyeumba
                                                                shamba, alimpa binadamu jukumu la
                                                                kulichunga shamba.



                                              Mwanzo 2:4-15
   10   11   12   13   14   15   16   17   18   19   20