Page 10 - SWAHILI_SB01Creation
P. 10

Siku ya tano ya juma la uumbaji, Mungu
         aliijaza bahati na viumbe vinavyoishi.
            Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi
            na viumbe vyenye vyenye uhai, na ndege
            wapae katika anga la mbingu.
          Basi  Mungu  akaumba  nyangumi
          viumbe wakubwa wa baharini, na kila
          kiumbe chenye uhai kiendacho majini,
          ambavyo vilijaa baharini kwa wingi wa
          jinsi zao, na kila ndege arukaye,
          sawasawa na jinsi yake.
























































                                                                                                                                                                      Na Mungu akaona ya kuwa
                                                                                                                                                                      ni vyema.
                                                                                                                                                                    Mungu  akavibarikia,  akisema,  "Zaeni,
                                                                                                                                                                    mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini,
                                                                                                                                                                    ndege na wazidi katika nchi.


                                                                                                                                                                      Ikawa jioni na baadaye asubuhi,
                                                                                                                                                                      siku ya tano.

                                                                                                                                                                                  Mwanzo 1:20-23
   5   6   7   8   9   10   11   12   13   14   15