Page 5 - SWAHILI_SB01Creation
P. 5
Mungu akasema, "Na iwepo
nuru," ikawa nuru.
Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema;
akatenga nuru na giza.
Mungu akaiita nuru "Mchana," na giza akaliita
"Usiku." Ikawa jioni na baadaye asubuhi, siku
ya kwanza.
Mungu akasema, Na iwepo anga katikati ya
maji, likayatenge maji na maji.
Mungu akaifanya anga na kuyatenga yale
maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo
chini ya anga; ikawa hivyo. Mungu akaiita ile
anga "Mbingu."
Ikawa jioni na baadaye asubuhi,
siku ya pili.
Mwanzo 1:3-8