Hapo mwanzo - hata kabla ya wakati - alikuwako Mungu. Nate alikuwepo Kwa utatu. Mungu hakukuwa na upweke, ila kulikuwepo na ushirika baina yake katika upendo na umoja. Sasa, yeye ndiye, mwenye kuumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:1-2