Page 8 - SWAHILI_SB01Creation
P. 8

Katika siku ya nne ya juma la uumbaji, Mungu aliumba
          jua, mwezi na nyota, mbingu pana.

                 Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili
                 itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili ya majira
                 na siku na miaka; tena iwe ndiyo mianga katika anga la
                 mbingu itie nuru juu ya nchi.


             Na ikawa hivyo. Mungu akafanya mianga miwili
             mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo
             utawale usiku; akafanya na nyota pia.



























































                                                                                                                                                            Mungu akaiweka katika anga la mbingu ili  itie nuru
                                                                                                                                                            juu ya nchi, kutawala mchana na usiku na kuitenga
                                                                                                                                                            Kati ya nuru na Giza

                                                                                                                                                                  Na Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
                                                                                                                                                               Ikawa jioni na baadaye asubuhi, siku ya nne.

                                                                                                                                                                                  Mwanzo 1:14-19
   3   4   5   6   7   8   9   10   11   12   13