Page 7 - SWAHILI_SB01Creation
P. 7

Mungu akasema, "Maji yaliyo chini ya mbingu
 na yakusanyike mahali pamoja, udongo
 mkavu uonekane."
 Ikawa hivyo. Mungu akauita ule udongo
 mkavu, Nchi; na makusanyiko ya maji
 akayaita Bahari.
 Na Mungu akaona ya
 kuwa ni vyema.
 Mungu akasema, "Nchi na itoe majani, miche itoayo
 mbegu, na miti ya matunda izaayo matunda kwa jinsi
 yake, ambayo mbegu zake zimo ndani yake, juu ya
 nchi,"  ikawa hivyo.























































                                                              Nchi ikatoa majani, miche itoayo mbegu kwa
                                                              jinsi yake, na miti izaayo matunda, ambao
                                                              mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake.

                                                                            Mungu akaona ya kuwa
                                                                            ni vyema.

                                                                      Ikawa jioni na baadaye asubuhi,
                                                                      siku ya tatu.

                                                                                  Mwanzo 1:9-13
   2   3   4   5   6   7   8   9   10   11   12