Page 4 - SWAHILI_SB01Creation
P. 4

Mungu akasema, "Na iwepo
          nuru," ikawa nuru.

                 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema;
                 akatenga nuru na giza.

                Mungu akaiita nuru "Mchana," na giza akaliita
                "Usiku." Ikawa jioni na baadaye asubuhi, siku
                ya kwanza.







































                                       Mungu akasema, Na iwepo anga katikati ya
                                       maji, likayatenge maji na maji.

                                               Mungu akaifanya anga na kuyatenga yale
                                               maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo
                                               chini ya anga; ikawa hivyo. Mungu akaiita ile
                                               anga "Mbingu."





















                                                                                                                                                                        Ikawa jioni na baadaye asubuhi,
                                                                                                                                                                        siku ya pili.

                                                                                                                                                                                    Mwanzo 1:3-8
   1   2   3   4   5   6   7   8   9