Page 14 - SWAHILI_SB01Creation
P. 14
Siku ya sita, Mungu aliumba kiumbe kipya
kutoka Kwa mavumbi.
Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampuli-
zia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. Aliumbwa
Kwa mfano wa Mungu kuwatawala wanyama.
Mungu alikiita hicho kiumbe
kipya, mtu na kumpa jina ADAMU.
Mungu akaangalia uumbaji
wake wote na akasema, "Ni
nzuri sana."
Mwanzo 1:31-2:7